Vijana kutoka Afrika wanatarajia mkutano unaoendelea nchini Marekani utatoa fursa kwa vijana kupata muongozo bora wa mbinu za uongozi
Your browser doesn’t support HTML5
Makamu Rais wa Marekani Kamala Harris alisema "Ninaamini kwa dhati kwamba ubunifu na ustadi wa viongozi vijana wa Afrika utatusaidia kuunda mustakabali wa dunia. Na kwamba mawazo yao, mawazo yako, ubunifu na mipango yako itanufaisha dunia nzima".