Rais Biden ni mwenyeji wa viongozi kutoka bara zima la Afrika wakiwa mjini Washington kwa mkutano wa viongozi wa Afrika na Marekani

Your browser doesn’t support HTML5

Mkutano huo utaonyesha dhamira ya kudumu ya Marekani kwa Afrika na utasisitiza umuhimu wa uhusiano kati ya Marekani na Afrika na kuongeza ushirikiano katika vipaumbele vya pamoja vya kimataifa katika kukabiliana na changamoto za haraka zaidi na kuchukua fursa tunazokabiliana nazo sote