Kyra Harris Bolden anakuwa mwanamke wa kwanza mweusi kuwahi kuhudumu mahakama kuu jimbo la Michigan nchini Marekani

Your browser doesn’t support HTML5

Bolden mwenye umri wa miaka 34 atajiunga na mahakama hiyo mwezi Januari baada ya muda wake wa uwakilishi kwenye bunge kumalizika. Anajaza kiti kilichoachwa wazi na Jaji Bridget McCormack. Na kama Bolden anataka kushikilia kiti hicho hadi 2028 lazima agombee katika uchaguzi wa 2024