Raila Odinga adai kwamba serikali ina nia ya kuondoa makamishna wanne wa tume ya uchaguzi walioyotofautiana na matokeo ya uchaguzi wa Kenya

Your browser doesn’t support HTML5

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.