Wanasayansi na maafisa wa serikali Kenya wahitilafiana kuhusu vyakula vya GMO

Your browser doesn’t support HTML5

Tofauti kali zimeibuka nchini Kenya baada ya baraza la mawaziri Jumatatu kuondoa marufuku iliyokuwepo kwa miaka 10 ya vyakula na mazao yaliyokuwa kwa njia ya kibioteknolojia huku wakosoaji wa hatua hiyo wakisema ni hatari mno kwa afya ya wananchi.