WHO: Umri wa kuishi barani Afrika waongezeka

Your browser doesn’t support HTML5

Takwimu mpya katika ripoti ya WHO ya Alhamisi zaonyesha kuwa umri wa kuishi barani Afrika umeongezeka kwa karibu miaka 10 kati ya mwaka wa 2000 na 2019. Kinachoonekana zaidi katika ripoti hiyo ni kuongezeka kwa umri wa kuishi kutoka miaka 46 mwaka wa 2000 hadi miaka 56 mwaka wa 2019.