Serikali ya Tanzania imeamua kuwekeza katika mipango ya maendeleo ya vijana kupitia ubunifu

Your browser doesn’t support HTML5

Serikali ya Tanzania imeamua kuwekeza katika mipango ya maendeleo ya vijana kupitia ubunifu wakitaja wanataka kuruhusu mawazo mapya na mbadala ambayo yatachochea mapinduzi ya teknolojia , biashara na kukuwa kwa uchumi.