Tanzania: Wanawake 19 waliovuliwa uanachama na chama cha Chadema wapuzilia mbali hatua hiyo

Your browser doesn’t support HTML5

Hatua ya kutupilia mbali rufaa ya wanawake 19 waliovuliwa uanachama na chama cha upinzani cha Tanzania, Chadema, imetajwa na baadhi yao kama ya kiuhuni huku naye mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akisesema wao ndio wahuni.