Wadau wataka vijana kupewa elimu ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii

Your browser doesn’t support HTML5

Kufuatia matumzi mabaya ya mitandao ya kijamii hususan kwa vijana, imeelezwa kwamba elimu ya matumizi sahihi ya mitandao hiyo inatakiwa kutolewa ikiwemo fursa zinazopatikana kwenye mitandao ikiwa ni pamoja na ajira na biashara.