Mahojiano kamili na msemaji wa kundi la waasi la M23 nchini DRC, Meja Ngoma

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati waasi wa M23 wakitangaza kusitisha mapigano kwa sasa, msemaji wao, Willy Ngoma, ameiambia VOA kwamba ni lazima serikali iheshimu mkataba wa Nairobi na kuhakikisha kwamba inapambana na makundi mengine ya waasi kwa ajili ya usalama wa raia wa DRC