Mwaka huu ni 400 tangu watumwa wa kwanza kuwasili Marekani
Your browser doesn’t support HTML5
Miaka 400 iliyopita, waafrika wa kwanza waliofanywa watumwa waliletwa marekani, wakiwasili katika koloni la kiingereza la Virginia. Kundi la kwanza lililetwa kutoka angola, baada ya kuchukuliwa na maharamia wa kiingereza kutoka meli ya kireno iliyokuwa imebeba watumwa.