Bunge la 10 la Uganda laanza vikao vyake

Uganda parliament entrance

Bunge la 10 la Uganda lilianza shughuli zake siku ya Jumatatu huku wabunge 458 wakianza kuapishwa katika shughuli iliyotarajiwa kuchukua siku tatu. Lakini licha ya kuapa kutetea maslahi ya nchi na kuwajibika kwa sheria za bunge,

Bunge la 10 la Uganda lilianza shughuli zake siku ya Jumatatu huku wabunge 458 wakianza kuapishwa katika shughuli iliyotarajiwa kuchukua siku tatu. Lakini licha ya kuapa kutetea maslahi ya nchi na kuwajibika kwa sheria za bunge, wabunge wengi walisema wataweka mbeke maslahi ya vyama vyao vya kisiasa, huku imani ya waganda ikionekana kudidimia, hata kabla ya bunge hilo kuanza vikao. Mwandishi wetu wa Kampala Kennes Bwire anaripoti.

Your browser doesn’t support HTML5

uganda parliament opens