Guinea yateuliwa kuingia robo finali ya CAN

Michel Dussuyer, kocha wa Guinea akizungumza na wandishi habari baada ya mchuano na Mali

Kamati ya utendaji ya Shirikisho la Kandanbda Africa CAF imetangaza kwamba Guinea ndio imeshinda katika bahati nasibu ya kusonga mbele dhidi ya Mali.

Uwamuzi ulichukuliwa Alhamisi saa kumi saa za Africa Magharibi mjini Malabo, na hivyo sasa Guinea itapambana na Ghana na Algeria itapambana na Ivory Coast.