Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 27, 2025 Local time: 03:02

Ulaya yajitahidi kuchukua uongozi kumaliza mzozo wa Ukraine


Ulaya yajitahidi kuchukua uongozi kumaliza mzozo wa Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Ulaya inajitahidi kuchukua uongozi ili kumaliza mzozo wa Ukraine huku Rais wa Marekani Donald Trump akisitisha misaada yote ya kijeshi.

Mustakabali wa sitisho la mapigano kati ya Israel na Hamas uko katika mashaka baada ya Israel kuzuia misaada kuingia Ukanda wa Gaza.


Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.

#habari

XS
SM
MD
LG