Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 27, 2024 Local time: 20:20

Israel na Hezbollah zaendelea kushambuliana siku moja baada ya mashambulizi kuua watu 500


Israel na Hezbollah zaendelea kushambuliana siku moja baada ya mashambulizi kuua watu 500
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Israel na Hezbollah wameendelea kushambuliana tena leo siku moja baada ya mashambulizi makali ya mabomu kuua takriban watu 500.

XS
SM
MD
LG