Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 14, 2025 Local time: 02:09

Human Rights Watch yabaini ushirikiano kati ya mataifa katika utekaji nyara


Human Rights Watch yabaini ushirikiano kati ya mataifa katika utekaji nyara
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu (Human Rights Watch) limebaini kuwepo ongezeko la ushirikiano kati ya mataifa kuwateka nyara wakosoaji wa serikali na viongozi wa upinzani.

Mkuu wa Jeshi la Sudan Abdulfatah al-Burhan atembelea mji wa Wad Madani, mji mkuu wa jimbo la Al Jazira.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG