Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 18, 2024 Local time: 07:07

Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani atishiwa kuondolewa madarakani kutokana na mzozo wa wahamiaji


Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani atishiwa kuondolewa madarakani kutokana na mzozo wa wahamiaji
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:15 0:00

Wiki hii tunaangalia mjadala mkubwa kwenye bunge la Marekani kuhusiana na mzozo wa wahamiaji kwenye mpaka wa kusini, ambao umepelekea baadhi ya wajumbe wa Repablikan kutishia kuitisha kura ya kutokuwa na imani na waziri Usalama wa Ndani Alejandro Maryokas.

Forum

XS
SM
MD
LG