Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 03, 2024 Local time: 21:53

Serikali ya DRC yapiga marufuku maandamano ya kupinga uchaguzi


Serikali ya DRC yapiga marufuku maandamano ya kupinga uchaguzi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wakati serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imepiga marufuku maandamano ya kupinga uchaguzi, wananchi bado wanasubiri matokeo kutangazwa kwa hamu kubwa.

Jeshi la Israeli limesema kuwa limefanya mashambulizi huko Ukingo wa Magharibi wakilenga watu wanaoshutumiwa kulifadhili kundi la wanamgambo wa Hamas.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG