#BALonVOA2021 : Rwanda yaingia Nusu Fainali, Maputo yatolewa
Klabu ya Mpira wa Kikapu ya Patriots (Rwanda) imeifunga Ferroviario de Maputo (Mozambique) pointi 73-71, katika Robo Fainali ya marudiano ya Ligi ya BAL, Alhamisi mjini Kigali, Rwanda. Kwa ushindi huo , Patriots B.B.C wanaingia katika Nusu Fainali ya Ligi ya BAL huku Maputo ikiwa imetoka.
Matukio
-
Aprili 25, 2024
Asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono kuhalalishwa bhangi
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan